Rais wa Uturuki azungumza na wagonjwa wa virusi vya corona kwa njia ya video


Rais Recep Tayyıp Erdoğan azungumza kwa njia ya video na wagonjwa wa virusi vya corona wanaopatiwa  matibabu katika  hospitali  Cerrahpaşa.

Taarifa iliztolewa katika ukurasa wake wa Twitter zimefahamisha kuwa rais Erdoğan amezungumza na wagonjwa hao  baada ya kuongonishwa   kwa njia ya video na hospitali  hiyo .

Waziri wa habari wa Uturuki Fahrettin Altun  na msemaji wa ikulu Ibrahim Kalın wameonekana katika picha iliorushwa ambapo rais Erdoğan  alipokuwa akizungumza na wagonjwa hao.

Comments

Popular posts from this blog

Rais wa Marekani Donald Trump na Makamu Wake Huenda Wakapimwa Tena Corona Baada ya Mtumishi Mwingine Wa IKULU Kukutwa na Virusi Vya Corona

Mchezo wa Kwanza Wapigwa Marekani Bila Mashabiki

Mji mkuu wa Korea Kusini wafunga kumbi za starehe kwa hofu ya Corona