Chama amuangukia Fei Toto
Mchezaji wa Simba SC Clotous Chama amemuomba radhi mchezaji wa Yanga SC Feisal Salum kwa kumchezea rafu ya makusudi ambayo ingeweza kumtia jeraha kubwa katika mchezo wa derby jana.
“Nina huzuni tumepoteza lakini nataka niwahakikishie kwamba kilichotokea kati yangu na Feisal kilikuwa ni binafsi walasio kwa shinikizo la matokeo ya derby, binafsi nimeongea na Feisal na amekubali msamaha wangu”amesema Chama
Comments
Post a Comment